2Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.