Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 24

Zaburi 24:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
5Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
6Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.

Read Zaburi 24Zaburi 24
Compare Zaburi 24:4-6Zaburi 24:4-6