Text copied!
Bibles in Swahili (individual language)

Zaburi 24:4-6 in Swahili (individual language)

Help us?

Zaburi 24:4-6 in Biblia ya Kiswahili

4 Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
5 Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
6 Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
Zaburi 24 in Biblia ya Kiswahili