Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 19

Zaburi 19:7-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
7Sheria ya Yahwe ni kamilifu, huokoa roho; ushuhuda wa Yahwe ni wa kuaminika, ukifanya hekima nyepesi.
8Maelekezo ya Yahwe ni ya hakika, yakiufanya moyo kuwa na furaha; amri ya Yahwe ni safi, ikileta mwanga kwenye macho yetu.
9Hofu ya Yahwe ni safi, inadumu milele; amri za haki ya Yahwe ni za kweli na zote ni za hakika!

Read Zaburi 19Zaburi 19
Compare Zaburi 19:7-9Zaburi 19:7-9