38Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.