Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:38-41

Help us?
Click on verse(s) to share them!
38Niliwashambulia hata hawakuweza kuamka; nao wameangukia chini ya miguu yangu.
39Kwa kuwa unanitia nguvu kama mshipi kwa ajili ya vita; wewe unawaweka chini yangu wale ambao wanainuka kinyume na mimi.
40Wewe ulinipa visogo vya maadui zangu; niliwaagamiza wale walio nichukia.
41Wao waliita msaada lakini hakuna aliye wasaidia; walimuita Yahwe, lakini hakuwaitikia.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:38-41Zaburi 18:38-41