Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 18

Zaburi 18:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Nitamuita Yahwe kwa sababu anastahili kusifiwa, na nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.
4Kamba za mauti zilinizunguka, na mafuriko yakimbiayo yalinielemea.
5Kamba za kuzimu zilinizunguka; mitego ya mauti ilininasa.

Read Zaburi 18Zaburi 18
Compare Zaburi 18:3-5Zaburi 18:3-5