Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 149

Zaburi 149:2-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
3Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
4Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
5Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao

Read Zaburi 149Zaburi 149
Compare Zaburi 149:2-6Zaburi 149:2-6