Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 145

Zaburi 145:14-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Yahwe huwategemeza wote waangukao na huwainua wote walioinama chini.
15Macho ya wote yanakungoja wewe; nawe huwapa chakula chao kwa wakati sahihi.
16Huufungua mkono wako na hukidhi haja ya kila kiumbe hai.
17Yahwe ni mwenye haki katika njia zake zote na neema katika yote afanyayo.

Read Zaburi 145Zaburi 145
Compare Zaburi 145:14-17Zaburi 145:14-17