14 Yahwe huwategemeza wote waangukao na huwainua wote walioinama chini.
15 Macho ya wote yanakungoja wewe; nawe huwapa chakula chao kwa wakati sahihi.
16 Huufungua mkono wako na hukidhi haja ya kila kiumbe hai.
17 Yahwe ni mwenye haki katika njia zake zote na neema katika yote afanyayo.