Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 141

Zaburi 141:5-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
6Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
7Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.”
8Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.

Read Zaburi 141Zaburi 141
Compare Zaburi 141:5-8Zaburi 141:5-8