Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 135

Zaburi 135:10-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;

Read Zaburi 135Zaburi 135
Compare Zaburi 135:10-16Zaburi 135:10-16