Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 133

Zaburi 133:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Ni kama mafuta mazuri kichwani yashukayo ndevuni. Ndevu za Haruni, na yashukayo mpaka upindo wa mavazi yake.
3Ni kama umande wa Hermoni uangukao milimani pa Sayuni. Maana huko ndiko Bwana alipoamuru baraka, naam uzima milele na milele.

Read Zaburi 133Zaburi 133
Compare Zaburi 133:2-3Zaburi 133:2-3