Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 12

Zaburi 12:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Msaada, Yahweh, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka; nao waaminifu wametokomea.
2Kila mmoja anasema kwa jirani yake maneno matupu; kila mmoja anaongea kwa midomo yenye sifa za uongo na maneno ya udanganyifu.
3Yahweh, katilia mbali midomo yenye sifa za uongo, kila ulimi unanena kwa nguvu mambo makubwa.

Read Zaburi 12Zaburi 12
Compare Zaburi 12:1-3Zaburi 12:1-3