Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 129

Zaburi 129:2-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
3Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
4Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
5Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
6Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,

Read Zaburi 129Zaburi 129
Compare Zaburi 129:2-6Zaburi 129:2-6