2“Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
3Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
4Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
5Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
6Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,