Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:53-55

Help us?
Click on verse(s) to share them!
53Hasira kali imenishikilia kwa sababu ya waovu wanaoikataa sheria yako.
54Sheria zako zimekuwa nyimbo zangu katika nyumba ninayoishi kwa muda.
55Ninalifikiria jina lako wakati wa usiku, Yahwe, na kuzishika sheria zako.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:53-55Zaburi 119:53-55