Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:165-167

Help us?
Click on verse(s) to share them!
165Wana amani nyingi, waipendao sheria yako; hakuna cha kuwatia mashakani.
166Naungoja wokovu wako, Yahwe, na ninatii amri zako.
167Ninazishika amri zako thabiti, na ninazipenda sana.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:165-167Zaburi 119:165-167