Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:142-147

Help us?
Click on verse(s) to share them!
142Hukumu yako ni ya haki milele, na sheria yako ni ya kuaminika.
143Japo dhiki na taabu vimenipata, amri zako bado ni furaha yangu.
144Amri za agano lako ni za haki milele; unipe uelewa ili niweze kuishi. QOPH.
145Nililia kwa moyo wangu wote, “Unijibu, Yahwe, nitazishika sheria zako.
146Ninakuita wewe; uniokoe, nami nitazitii amri za agano lako.”
147NInaamka asubuhi kabla jua halijachomoza na kulia kwa ajili ya msaada.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:142-147Zaburi 119:142-147