Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 119

Zaburi 119:139-141

Help us?
Click on verse(s) to share them!
139Hasira imeniangamiza kwa sababu adui zangu husahau maneno yako.
140Neno lako limepimwa sana, naye mtumishi wako analipenda.
141Sina umuhimu na ninadharauliwa, lakini bado siyasahau maagizo yako.

Read Zaburi 119Zaburi 119
Compare Zaburi 119:139-141Zaburi 119:139-141