Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 9

Zaburi 9:9-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Yahweh pia atakuwa ngome kwake aliye onewa, na ngome wakati wa shida.
10Wale wakujuao jina lako wanaamini katika Wewe, kwa ajili yako, Yahweh, usiwaache wale wakutafutao.
11Mwibieni sifa Yahweh, anaye tawala katika Sayuni; waambieni mataifa yale aliyo yatenda.
12Kwa kuwa Mungu alipizae kisasi cha damu hukumbuka; naye hasahau kilio cha anayeonewa.

Read Zaburi 9Zaburi 9
Compare Zaburi 9:9-12Zaburi 9:9-12