Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 99

Zaburi 99:3-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Nao walisifu jina lako kuu na lenye kutisha; yeye ni mtakatifu.
4Mfalme ana nguvu, naye hupenda haki. Wewe umeimarisha haki; umetenda haki na hukumu katika Yakobo.
5Msifuni Yahwe Mungu wetu na sujuduni miguuni pake. Yeye ni mtakatifu.

Read Zaburi 99Zaburi 99
Compare Zaburi 99:3-5Zaburi 99:3-5