Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 89

Zaburi 89:1-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Nitimba sifa za matendo ya uaminifu wa agano milele. Nitatangaza kweli yako kwa vizazi vijavyo.
2Maana nimesema, “Uaminifu wa agano umeimarishwa milele; na kweli yako umeiimarisha mbinguni.”
3“Nimefanya agano na wateule wangu, nimeapa kiapo kwa Daudi mtumishi wangu.
4Nitauimarisha uzao wako milele, na nitauimarisha utawala wako vizazi vyote.” Selah
5Mbingu husifu maajabu yako, Yahwe; kweli yako inasifiwa katika kusanyiko la watakatifu.
6Maana ni nani katika mbingu aweza kulinganishwa na Yahwe? Ambaye kati ya wana wa miungu ni kama Yahwe?

Read Zaburi 89Zaburi 89
Compare Zaburi 89:1-6Zaburi 89:1-6