Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 88

Zaburi 88:16-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
17Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.
18Wewe umemuondoa kwangu kila rafiki na anijuaye. Na sasa anijuaye pekee ni giza.

Read Zaburi 88Zaburi 88
Compare Zaburi 88:16-18Zaburi 88:16-18