15Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
16Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
17Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.