Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 88

Zaburi 88:15-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Nimekuwa nikiteswa kila siku na hatihati ya kifo tangu ujana wangu. Nimeteseka dhidi ya hofu yako kuu; ninakata tamaa.
16Matendo yako ya hasira yamepita juu yangu, na matendo yako ya kutisha yameniangamiza.
17Siku zote yananizingira mimi kama maji; yote yamenizunguka mimi.

Read Zaburi 88Zaburi 88
Compare Zaburi 88:15-17Zaburi 88:15-17