4“Njoni na tuwaangamize wao kama taifa. Kisha jina la Israeli halitakumbukwa.”
5Wamepanga njama pamoja wakiwa na mkakati mmoja; wamefanya muungano dhidi yako.
6Hii inajumuisha hema za Edomu na Waishmaeli, na watu wa Moabu na Wahagari, ambao wamepanga njama pamoja nao
7Gebal, Amoni, Amaleki; pia inajumuisha Filisti na wenyeji wa Tiro.