2Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
3Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
4Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
5Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.