Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 7

Zaburi 7:9-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Matendo ya waovu na yafike mwisho, bali uanzishe watu wenye haki, Mungu mwenye haki, wewe ambaye unapima mioyo na fahamu.
10Ngao yangu inatoka kwa Mungu, yule anaye okoa moyo wa mwenye haki.
11Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anaye chukizwa na waovu kila siku.
12Ikiwa kuna mtu hatubu, Mungu atanoa upanga wake na ata andaa upinde wake kwa ajili ya vita.

Read Zaburi 7Zaburi 7
Compare Zaburi 7:9-12Zaburi 7:9-12