Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:63-66

Help us?
Click on verse(s) to share them!
63Moto uliwavamia vijana wao wa kiume, na vijana wao wa kike hawakuwa na nyimbo za harusi.
64Makuhani wao waliangushwa kwa upanga, na wajane wao hawakulia.
65Kisha Bwana aliamshwa kama aliyetoka usingizini, kama shujaa apigaye kelele kwa sababu ya mvinyo.
66Aliwarudisha adui zake nyuma; aliwaweka kwenye aibu ya milele.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:63-66Zaburi 78:63-66