Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Aliamuru hivi ili kwamba kizazi kijacho kiweze kuzijua amri zake, ili wawafundishe wana ambao bado hawajazaliwa.
7Kisha wangeweka tumaini lao katika Mungu na kutokusahau matendo yake bali wazishike amri zake.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:6-7Zaburi 78:6-7