41Tena na tena walimjaribu Mungu na wakamtilia mashaka Mtakatifu wa Israeli.
42Hawakufikiria kuhusu uweza wake, jinsi alivyo waokoa dhidi ya adui
43alipofanya ishara za kutisha katika Misri na maajabu yake katika konde la Soani.
44Aligeuza mito ya Wamisri kuwa damu ili wasipate kunywa kutoka katika vijito vyao.