Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 78

Zaburi 78:40-41

Help us?
Click on verse(s) to share them!
40Mara ngapi wameasi dhidi yake jangwani na kumuhuzunisha nyikani!
41Tena na tena walimjaribu Mungu na wakamtilia mashaka Mtakatifu wa Israeli.

Read Zaburi 78Zaburi 78
Compare Zaburi 78:40-41Zaburi 78:40-41