Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 73

Zaburi 73:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
15Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
16Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.

Read Zaburi 73Zaburi 73
Compare Zaburi 73:14-16Zaburi 73:14-16