Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 73

Zaburi 73:13-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Hakika nimeutunza moyo wangu bure na nimenawa mikono yangu pasipo kukosa.
14Maana mchana kutwa nimeteswa na kuadhibiwa kila asubuhi.
15Kama ningesema, “Ningesema mambo haya,” kumbe nigewasaliti kizazi hiki cha watoto wenu.
16Ingawa nilijaribu kuyaelewa mambo haya, yalikuwa ni magumu sana kwangu.
17Ndipo nilipoingia patakatifu pa Mungu na kuelewa hatma yao.
18Hakika wewe huwaweka penye utelezi; huwaangusha mpaka palipoharibika.

Read Zaburi 73Zaburi 73
Compare Zaburi 73:13-18Zaburi 73:13-18