Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 71

Zaburi 71:8-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
9Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
10Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
11Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”

Read Zaburi 71Zaburi 71
Compare Zaburi 71:8-11Zaburi 71:8-11