Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 71

Zaburi 71:2-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
3Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
4Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
5Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
6Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.

Read Zaburi 71Zaburi 71
Compare Zaburi 71:2-6Zaburi 71:2-6