Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 68

Zaburi 68:5-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Baba wa yatima, na mwamuzi wa wajane, ni Mungu anayeishi mahali patakatifu.
6Mungu huwaweka wakiwa katika familia; yeye huwafungua wafungwa kwa kuimba bali waasi huishi katika ardhi kavu.
7Mungu, wewe ulipoenda mbele ya watu wako, ulipotembea kupitia jangwani, Selah
8nchi ilitetemeka; mbingu pia zilidondosha mvua katika uwepo wa Mungu, uweponi mwa Mungu wakati alipokuja Sinai, uweponi mwa Mungu, Mungu wa Israeli.
9Wewe, Mungu, ulituma mvua nyingi; uliuimarisha urithi wako wakati ulipokuwa umechoka.

Read Zaburi 68Zaburi 68
Compare Zaburi 68:5-9Zaburi 68:5-9