Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 60

Zaburi 60:6-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.
7Gileadi ni yangu, na Manase ni yangu na Ephraimu pia ni kofia yangu ya chuma; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
8Moabu ni bakuli langu la kunawia; juu ya Edomu nitatupa kiatu changu; nitapiga kelele za ushindi kwa sababu ya Filisti.”
9Ni nani atakaye nileta kwenye mji imara? Ni nani ataniongoza kwenda Edomu?

Read Zaburi 60Zaburi 60
Compare Zaburi 60:6-9Zaburi 60:6-9