Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 60

Zaburi 60:5-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
6Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.

Read Zaburi 60Zaburi 60
Compare Zaburi 60:5-6Zaburi 60:5-6