Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 60

Zaburi 60:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Kwa wale wanao kuheshimu wewe, wewe umeweka bandera ionekane dhidi ya wale wabebao upinde. Selah
5Ili kwamba wale uwapendao waweze kuokolewa, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
6Mungu ameongea katika utakatifu wake, “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na kuligawa bonde la Sukothi.

Read Zaburi 60Zaburi 60
Compare Zaburi 60:4-6Zaburi 60:4-6