Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 5

Zaburi 5:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Mungu, wafanye kuwa na hatia; mipango yao iwe kuanguka kwao! Kwa ajili ya makosa yao mengi uwatoe nje, kwa kuwa wamekuasi wewe.
11Bali wale wanao kukimbilia wafurahi; uwafanye wapige kelele kwa shangwe siku zote kwa sababu unawapigania; uwafanye wenye furaha ndani yako, wale walipendao jina lako.
12Kwa maana utawabariki wenye haki, Yahweh; utawazunguka kwa neema kama ngao.

Read Zaburi 5Zaburi 5
Compare Zaburi 5:10-12Zaburi 5:10-12