Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 58

Zaburi 58:4-9

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Sumu yao ni kama sumu ya nyoka; wako kama fira kiziwi azibaye masikio yake,
5ambaye hasikilizi sauti ya waganga, haijalishi ustadi walio nao.
6Vunja meno yao midomoni mwao, Mungu; uyatoe meno ya mwana simba, Yahwe.
7Wayeyuke kama maporomoko ya maji; wafyatuapo mishale yao, iwe kama haina ncha.
8Wawe kama konokono ambaye huyeyuka na kutoweka, kama mtoto aliye zaliwa kabla ya wakati ambaye hakuona jua.
9Kabla ya vyungu vyenu kupata joto la kuungua kwa miiba, yeye ataviondosha kwa upepo mkali, miiba ya kijani yote na ile inayoungua.

Read Zaburi 58Zaburi 58
Compare Zaburi 58:4-9Zaburi 58:4-9