Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 57

Zaburi 57:1-2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
2Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.

Read Zaburi 57Zaburi 57
Compare Zaburi 57:1-2Zaburi 57:1-2