Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 55

Zaburi 55:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”
9Uwaangamize, Bwana, vuruga lugha zao! Kwa maana nimeona vurugu na ugomvi katika mji.
10Mchana na usiku wao huenda kwenye kuta zake; uchafu na ufisadi uko katikati yake.

Read Zaburi 55Zaburi 55
Compare Zaburi 55:8-10Zaburi 55:8-10