Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 53

Zaburi 53:4-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Je, wale wanao fanya uovu hawana uelewa - wale walao watu wangu kana kwamba wanakula mkate na hawamuiti Mungu?
5Wao walikuwa katika hofu kuu, ingawa hakuna sababu ya kuogopa ilikuwepo hapo; maana Mungu ataitawanya mifupa ya yeyote atakaye kusanyika dhidi yako; watu kama hao wataaibishwa kwa sababu Mungu amewakataa wao.

Read Zaburi 53Zaburi 53
Compare Zaburi 53:4-5Zaburi 53:4-5