Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 51

Zaburi 51:4-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Dhidi yako, wewe pekee, nimetenda dhambi na kufanya uovu mbele ya macho yako; uko sawa usemapo; wewe uko sahahi utoapo hukumu.
5Tazama, nilizaliwa katika uovu; pindi tu mama yangu aliponibeba mimba, nilikuwa katika dhambi. Tazama, wewe unahitaji uaminifu ndani ya moyo wangu;
6katika moyo wangu wewe utanifanya niijue hekima.
7Unisafishe kwa hisopo, nami nitakuwa safi; unioshe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
8Unifanye kusikia furaha na shangwe ili kwamba mifupa ulioivunja ifurahi.

Read Zaburi 51Zaburi 51
Compare Zaburi 51:4-8Zaburi 51:4-8