Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 50

Zaburi 50:4-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
6Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah

Read Zaburi 50Zaburi 50
Compare Zaburi 50:4-6Zaburi 50:4-6