Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 50

Zaburi 50:3-8

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
4Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
6Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
7Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
8Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.

Read Zaburi 50Zaburi 50
Compare Zaburi 50:3-8Zaburi 50:3-8