Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 50

Zaburi 50:2-5

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
3Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
4Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
5Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”

Read Zaburi 50Zaburi 50
Compare Zaburi 50:2-5Zaburi 50:2-5