Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 49

Zaburi 49:15-18

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. Selah
16Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-

Read Zaburi 49Zaburi 49
Compare Zaburi 49:15-18Zaburi 49:15-18