15Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. Selah
16Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-