Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Zaburi - Zaburi 49

Zaburi 49:13-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa,...
14Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao.

Read Zaburi 49Zaburi 49
Compare Zaburi 49:13-14Zaburi 49:13-14