10Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa,...